Tunaishi-文本歌词

Tunaishi-文本歌词

Man Lawela
发行日期:

Weeh Aah Wananiita mimi Man Lawela Dully Kibody Mama Aliza shuja Mama hakulea pumbavu Inakupasa kupambana Husikate tamaa kipumbavu Tulisha kata tamaa Mara kibao lakini tukaziunga Wale tulio waamini Kwenye shida Waligeuka kama Yuda Shida zipo ndogo ndogo Changamoto ni kibao Ila Mola anapigania Tunasaka maokoto Kesho tutimize ndoto Tunapambana na hii dunia Wabaya tunaishi nao tu Hawataki sisi tu survive hao Wanafki nao ni kibao tu Tunasaka chapaa Ndio mana tunaishi Tunaishi Na ndio mana tunaishi Tunaishi Sisi wapambanaji Ni watu fulani fulani Tumeanza maisha tukiwa tupo Mbinguni Hatua ya pili tukatua ulimwenguni Popote kambi Mimi naweka maskani Maisha husinitupe kama uchafu jalalani Mungu husiniache Unibebe hata nikifa Tunateketea kwa kukosa maarifa Sikia hii sauti Inavyopenya kwa sabufa Kabla ya mauti Nataka kuziba ufa Ufa ufa ufa Sio Simba Sio Yanga Sio Ndada Timu zote nje ya uwanja zinajigamba Msikitini kanisani kwa Mungu baba Husichoke kumuomba Mungu Baraka haziwezi sanda Ndio mana tunaishi Tunaishi Na ndio mana tunaishi Tunaishi Ndio mana tunaishi Tunaishi Na ndio mana tunaishi Tunaishi Kama utani Man Lawela nimefika Ndani ya East Africa ,Mimi nasikika Nacheki wanga wanavyotabika Wengi wanachukia sana,mimi nilipofika Sio uganga wanangu Wala sio uchawi Ila sir GOD anaweza fanya Ufike mbali Nasiku zote yatima hadeki Huo unga wa ugali Huwezi kupikia keki Mistari yangu ni mikali kama pilipili Wanasema sio Bro,nimichungu kama shubiri Mikiki yako tumeshindwa kuhimiri Ndio mana sisi tumekiri Wewe mwanajeshi kamili Na ipo siku Mungu baba,ata bless Namimi mwenzenu nitakuja kuwa boss Niondokane na mamikosi Na nuksi Na nitanunua gun ili niwashuti mamruki Maisha yangu safari tosha Kwa nguvu za Mola Napona sinywagi koka Mbona sivuki boda wapo waliozani nina gun Siumizi ndonga Ni kama kupiga dana Nilikua kinda Leo jua nalitazama Naishi kininja Na dua za Maurana Japo napigwa vita Kuwa naungua marijuana Natamani kuwa Simba Visa na Chuka,mianya ikaziba Mja,hatupwi na Mungu wake Ridhiki,huja na mafungu yake Silegezi nitoke Wanapo chechema Sichechemi nisonge Mlevi nisiekosa pombe Mchumba alie nitosa Ona wamenyakua kombe Ndio mana tunaishi Tunaishi Na ndio mana tunaishi Tunaishi Ndio mana tunaishi Tunaishi Na ndio mana tunaishi Tunaishi